Posts

Showing posts from May, 2018

FAIDA YA KIBIRITI UPERE

Je wajua ya kua watu wengi utumia kibiriti upere kama tiba ya kuondoa fangasi sugu ya dam au vipers viotavyo kutokana na aleg ya kitu atumiacho mtu na kumdhuru hii ni tiba nzuri kabisa ya muda nikisema muda ni kwamba wengi watumiayo dawa hii upona kwa muda huo maalimmuma.blogspot.com ila baada ya miezi urudi tena na kuleta athari kama mwanzo hivyo itakubidi uwe ni mtu mwenye kurudia pindi uumwapo wengi dawa hiyo utumia kwenye uji kijiko kidogo cha chai kutwa Mara mbili ndani ya siku 14 tu ila njia bora ya kufanya ugonjwa huu usiweze rudi tena ata kama ni mtumiaji wa kitu flani na ukawa ukitumia una zurika mfano kuwashwa ngozi ya mwili kutoka mabaka kutapika na kazalika hizi zote ni a leg utacha chukua wekeli na kibiriti upere utachanganya kwa ujazo sawa kisha matumizi utatumia kama nilivyo toa utaratibu huo apo juu kwa mawasiliano no +255717375080 au +255742702741 maalim muma napatikana dar es salam air port kipawa  maalimmuma.blogspot.com

IJUE NGUVU YA KISU KATIKA UCHAWI

Leo nita zungumzia faida na hasara za kisukatika kinga na maradhi ki ufupi kisu uleta maradhi ya moyo kwa yule mtu  anae penda kulia maalimmuma.blogspot.com kitu na kisu au kukilamba mfano ukawa ukawa ume menya tunda mfano embe tango papai au lolote kwa kuchoma na kisu kisha kukila hivyo oleta maradhi ya moyo lakini tukiangalia katikà kinga hii ni hatari sana kwa matokeo nilio pata kutoka kwa watu linio waelekeza hii kama utakua na nguvu ndogo au kinga ndogo usije ifanya na ni bora mkachangia kuifanya na watu unao ishi nao ndani ya nyumba uishiyo kama una majini wako au marohani usifanye  sababu utakua umetangaza vita maalimmuma.blogspot.com ya kuwazuia majini wako njia ni hivi UTACHUKUA KISU KIPYA NA NDOO YA MAJI KISHA UTAFUNGA MLANGO NA UTACHUKUA KISU UTA KIDUMBUKIZA NDANI YA MAJI KWA KUKISIMAMISHA NCHA YA KISU IKIANGALIA JUU KISHA MTA NAWA MIKONO NDANI YA MAJI YALIO NA KISU NDANI YA NDOO UKU UKITIA NIA YA KUA WASI INGIE MAJINI WACHAWI WALA MISUKULE KISHA LALA AKIKISHA UNA...

BUSTANI YA UCHAWI NA MAJINI

Image
maalimmuma.blogspot.com Tukisema busstani  ya uchawi na majini nina maanisha matawi ya uchawi na mashina yake mfano mtu anaweza kua karogwa ila katika kurogwa uko kume gawanyika makundi matatu moja ni kufungwa kichawi la pili ni kutiwa nuksi na la tatu ni kutupiwa jini yani tukisema kutupiwa jini ni sawa na jini wakutumiwa ili akuvae kwa kukuharibia maisha na katika  maalimmuma.blogspot.com makundi hayo matatu kuna njia 7au 8 katika kila kundi moja za kuroga na hivyo ikawa ni ngum mgonjwa kuelekezwa dawa na mganga ili ajitibu bila kumuangalia nini kilichopo kwa mgonjwa na hii ndio umfanya mgonjwa asipone kwa   dawa na mtu bila kumtazama. Kipi kimsumbuacho na upelekea mgonjwa kutumia dawa nyingi pasipo mafanikio leo tuishie hapa na panapo majaliwa tuta malizia kesho kuchambua aina za uchawi hasara zake tiba zake na muonekano wa kila dalili uwapo mwilini kwa mgonjwa kwa no 255717375080 maalim muma +255742702741 napatikana dar es salam air port kipawa